Sunday School Lessons - Kiswahili

Sunday School Lessons in Kiswahili. Translated from our original Sunday School lessons for young children. Free to use in your ministry!

Kiswahili (or Swahili) is spoken in several countries in Africa, including Tanzania, Kenya, and Uganda. In fact, when taken all together, the people who speak Swahili make up the 3rd largest language group in Africa!

Translating our lessons into Swahili therefore was done in an effort to make these materials available to this amazing group of people from so many different places.  God bless you!

Image - Bible distribution in Uganda.

Masomo ya Biblia kwa watoto wadogo kwa lugha ya Kiswahili. Yametafsiriwa kutoka kwa masomo yetu ya awali ya Biblia kwa watoto wadogo. Kuwa huru kuyatumia katika huduma yako!

Lugha ya Kiswahili inazungumzwa katika nchi kadhaa barani Afrika, zikiwemo Tanzania, Kenya na Uganda. Kwa hakika, tukijumlisha pamoja, watu wanaozungumza Kiswahili wanaunda Kundi la 3 la lugha  kubwa zaidi barani Afrika!

Kwa hiyo, kutafsiri masomo yetu katika lugha ya Kiswahili kulifanyika katika jitihada za kufanya masomo haya yapatikane kwa kundi hili la watu kutoka sehemu mbalimbali. Mungu akubariki!

Picha – Usambazaji wa Biblia nchini Uganda.


Sunday School Lessons - Kiswahili

Sunday School lessons in Kiswahili for children ages 4-7. These Bible lessons each include activities, such as games, skits, songs and crafts. Download them as series of lessons and use them for free in your ministry.

  • GOD LOVES ME - (8 lessons)

  • CHRISTMAS - (6 lessons)

  • LIFE OF JESUS - (12 lessons)

  • EASTER - (8 lessons)

  • THE EARLY CHURCH - (6 lessons)

  • GENESIS - (13 lessons)

  • EXODUS - (7 lessons)


Masomo ya Biblia - Kiswahili

Masomo ya Biblia kwa watoto wa miaka 4-7 katika lugha ya Kiswahili. Kila moja ya masomo haya ya Biblia linajumuisha shughuli, kama vile michezo, michezo ya kuigiza, nyimbo na shughuli za ufundi. Pakua kama mfululizo wa masomo na uyatumie bila malipo katika huduma yako.




More Information on these Lessons...


Maelezo Zaidi Juu ya Masomo Haya...


SERIES #1 - GOD LOVES ME! (8 lessons)

  • Lesson 1 - God Loves Me!
  • Lesson 2 - I am Important to God!
  • Lesson 3 - God Loves My Family!
  • Lesson 4 - I Can Love God Back!
  • Lesson 5 - What is Faith?
  • Lesson 6 - God Never Changes!
  • Lesson 7 - What is Forgiveness?
  • Lesson 8 - God Loves Everybody!

SEHEMU YA 1 - MUNGU ANANIPENDA! (Masomo 8)

  • Somo la 1 - Mungu Ananipenda!
  • Somo la 2 - Mimi ni wa Muhimu kwa Mungu!
  • Somo la 3 - Mungu Anaipenda Familia Yangu!
  • Somo la 4 - Ninaweza Kumpenda Mungu Pia!
  • Somo la 5 - Imani ni Nini?
  • Somo la 6 - Mungu Habadiliki Kamwe!
  • Somo la 7 - Msamaha ni Nini?
  • Somo la 8 - Mungu Anampenda Kila Mtu!

SERIES #2 - CHRISTMAS! (6 lessons) 

  • Lesson 1 - What is Christmas to You?
  • Lesson 2 - The Promise of a Savior King
  • Lesson 3 - No Room in the Inn!
  • Lesson 4 - Of Shepherds and Angels
  • Lesson 5 - Wise Men from Afar
  • Lesson 6 - The Flight to Egypt


SEHEMU YA 2 - KRISMASI! (Masomo 6)

  • Somo la 1 - Krismasi ni Nini?
  • Somo la 2 - Ahadi ya Mfalme Mwokozi
  • Somo la 3 - Hakuna Nafasi katika Nyumba ya Wageni
  • Somo la 4 - Wachungaji na Malaika
  • Somo la 5 - Wataalam wa Nyota (Mamajusi) kutoka mbali
  • Somo la 6 - Kukimbilia Misri (Mungu Anamlinda Mtoto Yesu)


SERIES #3 - LIFE OF JESUS (12 lessons)

  • Lesson 1 - Jesus at the Temple (at age 12)
  • Lesson 2 - The Baptism of Jesus
  • Lesson 3 - Jesus Chooses His Disciples
  • Lesson 4 - Jesus Turns the Water into Wine
  • Lesson 5 - Jesus Healed People
  • Lesson 6 - Jesus Calms the Storm
  • Lesson 7 - Jesus Feeds the 5000
  • Lesson 8 - Let the Little Children Come to Me
  • Lesson 9 - Parable of the Prodigal Son
  • Lesson 10 - Parable of the Workers in the Vineyard
  • Lesson 11 - Light of the World: Salt of the Earth
  • Lesson 12 - Jesus is The Way
    Also Included - Leading Children to Jesus as their Savior 


SEHEMU YA 3 – MAISHA YA YESU (Masomo 12)

  • Somo la 1 - Yesu Hekaluni (akiwa na Umri wa miaka 12)
  • Somo la 2 - Ubatizo wa Yesu
  • Somo la 3 - Yesu Awachagua Wanafunzi
  • Somo la 4- Yesu Abadilisha Maji Kuwa Divai
  • Somo la 5 - Yesu Awaponya Watu
  • Somo la 6 - Yesu Atuliza Dhoruba
  • Somo la 7 - Yesu Awalisha Watu 5000   
  • Somo la 8 - Waacheni Watoto Wadogo Waje Kwangu
  • Somo la 9 - Mfano wa Mwana Mpotevu
  • Somo la 10 - Mfano wa Wafanyakazi katika Shamba la Mizabibu
  • Somo la 11 - Nuru ya Ulimwengu: Chumvi ya Dunia
  • Somo la 12 - Yesu Ndiye Njia
    Pia Inajumuisha: Kuwaongoza watoto kwa Yesu kama Mwokozi Wao

SERIES #4 - EASTER (8 lessons)

  • Lesson 1 - Palm Sunday
  • Lesson 2 - The Last Supper
  • Lesson 3 - Jesus Prays at Gethsemane
  • Lesson 4 - Friday was Sad, but Sunday was Glad!
  • Lesson 5 - The Empty Tomb! Easter Sunday!
  • Lesson 6 - Jesus Appears to His Disciples ("Doubting" Thomas)
  • Lesson 7 - Jesus Makes Breakfast (The Reconciliation of Peter)
  • Lesson 8 - The Great Commission (Jesus Ascends into Heaven)

SEHEMU YA 4 - PASAKA (Masomo 8)

  • Somo la 1 - Jumapili ya Mitende
  • Somo la 2 - Karamu ya Mwisho pamoja na Wanafunzi Wake
  • Somo la 3 - Yesu Anaomba Katika Bustani
  • Somo la 4 - Ijumaa ilikuwa ya Huzuni, lakini Jumapili ilikuwa ya Furaha!
  • Somo la 5 - Kaburi Tupu! Jumapili ya Pasaka!
  • Somo la 6 - Yesu Awatokea Wanafunzi Wake (Tomaso Mwenye Shaka)
  • Somo la 7 - Yesu Atengeneza Kiamsha Kinywa! (Upatanisho wa Petro)
  • Somo la 8 - Agizo Kuu (Yesu Anapaa Mbinguni)


SERIES #5 - THE EARLY CHURCH (6 lessons) 

  • Lesson 1 - God Sends the Holy Spirit (Pentecost)
  • Lesson 2 - The Church Grows (New Believers)
  • Lesson 3 - Little Churches All Around (Missions)
  • Lesson 4 - Light of the World/ Salt of the Earth
  • Lesson 5 - Body of Christ
  • Lesson 6 - Bride of Christ (Wedding Supper of the Lamb)


SEHEMU YA 5 - KANISA LA MWANZO (Masomo 6) 

  • Somo la 1 – Mungu Anamtuma Roho Mtakatifu (Pentekoste)
  • Somo la 2 – Kanisa Lakua (Waumini Wapya)
  • Somo la 3 – Makanisa Madogo Kote (Misheni)
  • Somo la 4 – Nuru ya Ulimwengu/ Chumvi ya Dunia
  • Somo la 5 – Mwili wa Kristo
  • Somo la 6 - Bibi-Arusi wa Kristo (Karamu ya Harusi ya Mwana-Kondoo)


SERIES #6 - GENESIS (13 lessons)

  • Lesson 1 - Creation
  • Lesson 2 - Adam and Eve
  • Lesson 3 - Cain and Abel
  • Lesson 4 - Noah and the Ark
  • Lesson 5 - Abraham's Call
  • Lesson 6 - Isaac - The Son of Promise
  • Lesson 7 - Isaac and Rebekah
  • Lesson 8 - Jacob and Esau
  • Lesson 9 - Jacob Marries Rachel
  • Lesson 10 - Jacob is Renamed Israel
  • Lesson 11 - Joseph's Coat of Many Colors
  • Lesson 12 - Joseph in Egypt
  • Lesson 13 - Joseph Forgives His Brothers


SEHEMU YA 6 - MWANZO (Masomo 13)

  • Somo la 1 - Uumbaji
  • Somo la 2 – Adamu na Hawa
  • Somo la 3 – Kaini na Habili
  • Somo la 4 – Noa na Safina
  • Somo la 5 – Wito wa Abrahamu
  • Somo la 6 - Isaka – Mwana wa Ahadi
  • Somo la 7 – Isaka na Rebeka
  • Somo la 8 – Yakobo na Esau
  • Somo la 9 – Yakobo Anamuoa Raheli
  • Somo la 10 – Yakobo Anapewa Jina Jipya Israeli
  • Somo la 11 - Vazi la Yusufu la Rangi Nyingi
  • Somo la 12 – Yusufu huko Misri
  • Somo la 13 – Yusufu Anawasamehe Ndugu Zake


SERIES #7 - MOSES to THE PROMISED LAND (7 lessons)

  • Lesson 1 - Moses in the Bulrushes (Miriam)
  • Lesson 2 - Moses and the Burning Bush
  • Lesson 3 - Moses and Pharoah (The Ten Plagues)
  • Lesson 4 - The Passover
  • Lesson 5 - Crossing the Red Sea
  • Lesson 6 - The Ten Commandments
  • Lesson 7 - The Promised Land


SEHEMU YA  7 - MUSA HADI NCHI YA AHADI (Masomo 7)

  • Somo la 1 - Musa katika mafunjo (Miriamu)
  • Somo la 2 - Musa na Kichaka Kinachowaka moto
  • Somo la 3 - Musa na Farao (Mapigo Kumi)
  • Somo la 4 - Pasaka
  • Somo la 5 – Kuvuka Bahari ya Shamu
  • Somo la 6 – Amri Kumi
  • Somo la 7 – Nchi ya Ahadi


On a Personal Note ...

I would personally like to thank our friends at Biblica Africa, as well as our translator, Ruth Mugeni, and her team, for making these translations into Kiswahili possible.

We are indebted to Ruth for her tireless work, not only in translating the lessons but also in editing the songs and activities to make them more culturally relevant for the children of Africa.

Asante,

Sharon



Kwa Nafasi Yangu Binafsi…

Ningependa kuwashukuru marafiki zetu wa Biblica Africa, pamoja na mtafsiri wetu, Ruth Mugeni, na timu yake, kwa kufanikisha tafsiri hizi katika lugha ya Kiswahili.

Tunamshukuru Ruth kwa kazi yake, sio tu katika kutafsiri masomo haya bali pia katika kuhariri nyimbo na shughuli za ufundi ili kuzifanya zieleweke zaidi kwa watoto wa Afrika.

Asante,

Sharon


Back to Top - Sunday School Lessons - Kiswahili

Little Guys Lessons - English

HOME